SWALI LA WIKI (JUMA LA 80)

SWALI: Mimi ni muuza uturi (manukato) na ili kumshawishi mnunuzi hulazimika kumpakaza ili apate kunusa harufu yake. Kisha tena ninakiuza kichupa cha uturi ule kwa  mtu mwingine, kikiwa tayari kimeshapungua…

UDHU WA MWENYE UDHURU

Tunakusudia kusema kwa istilahi (wenye udhuru) wale watu ambao ambao wana maradhi yanayowafanya wasiweze kuuhifadhi udhu wao kama wanavyoweza watu wengine katika hali ya kawaida. Hawa ni pamoja na mtu…

AYA YA WIKI (JUMA LA 79)

ISHI NA MUONGOZO NA MAELEKEZO YA QUR-ANI, UFANIKIWE DUNIANI NA AKHERA. Acha ubishi, Kiyama kinakuja na kipo karibu mno kuliko unavyoweza kufikiria, mche Mola wako: “Enyi watu! Mcheni Mola wenu…

HADITHI YA WIKI (JUMA LA 79)

“Bora ya amali ni wewe kufariki Dunia na ilhali ulimi wako u maji maji kwa kumdhukuru Allah”. Sahih Al-Jaami’i-Allah amrehemu.

KATAZO LA WIKI (JUMA LA 79)

Dini yako haina thamani; haiuziki kwa chochote. Dini yako ndio kitu ghali mno unacho miliki, kwa nini basi unazipotoa aya za Mola wako kwa maslahi ya wanasiasa au kwa kujipendekeza…

SWALI LA WIKI (JUMA LA 79)

SWALI: Leo ulimwenguni kote kumekuwa na miito ya kuwataka watu kuchangia damu, na watu wanaitika na kuchangia hiyo damu na wengine kufikia hata kujitolea viungo vyao vya mwili. Sheria inasemaje…

HALI AMBAZO UDHU HUSUNIWA NDANI YAKE

Imesuniwa kutawadha katika hali nyingi, miongoni mwa hali ambazo muislamu amesuniwa atawadhe: 1. Wakati wa kumdhukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwani Bwana Mtume –Rehema na Amani zimshukie – alikuwa akipenda kumdhukuru…

YALIYO HARAMU KWA ASIYE NA UDHU

Ni haramu kisheria kwa mtu asiyekuwa na udhu kufanya mambo yafuatayo : –Kuswali swala yeyote ile iwayo; ya faradhi, ya suna, au swala ya maiti, au sijida ya kusoma Qur-ani…

VITENGUZI VYA UDHU

Haya ni yale mambo ambayo mojawapo miongoni mwake likimtokea/kumpata mtu mwenye udhu, litasababisha kubatilika kwa udhu wake huo na kuhesabika mbele ya sheria kuwa ni MUHDITH (hana udhu). Kwa mantiki…

SOMO LA TANO –01 MUHAMMAD; MTUME WA MWISHO-Rehema na Amani zimshukie-Na uhusiano/mafungamano ya ujumbe (da’awa) wake na jumbe za mbinguni zilizo tangulia.

“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-ni juma jingine tena, kwa auni na uwezeshi wake Mola, tumekutana katika darsa zetu za Sira yake Bwana…