“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Naam, kwa mara nyingine tena, Mola wetu Mtukufu anatukutanisha katika darasa letu la Sira, ili litusaidie kumjua Mtume wetu na dini…
Hadhi, nafasi na daraja ya mji wa Makka katika Uislamu “SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-juma lililo pita tulijifunza na kuangalia mchango na…
Mchango wa Ibn Zubeir na watu wengine katika ujenzi wa Al-Ka’aba. “SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mchango wa Ibn Zubeir na watu wengine katika ujenzi wa…
“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-baada ya kujifunza kwa mukhtasari tarekhe ya kuasisiwa na kujengwa kwa mji mtukufu wa Makka, leo tena kwa…
Kuibuka (kuanzishwa) na kukua kwa mji wa Makka. Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-fahamu na uelewe ya kwamba, Historia ya mji wa Makka; kuibuka, kujengwa na kukua kwake haiandikiki na wala haielezeki…
“KUTENGENEA KWA FAMILIA YAKO, NDIO KUTENGENEA KWA JAMII NA TAIFA LAKO” Sifa njema zote ni haki yake Allah; Mola wa viumbe vyote. Yeye pekee ndiye wa kuabudiwa na kuombwa. Rehema…
“KUTENGENEA KWA FAMILIA YAKO, NDIO KUTENGENEA KWA JAMII NA TAIFA LAKO” Shukrani zote ni stahiki na milki yake Allah Mtukufu, aliye uumba ulimwengu kwa utashi, uwezo, malengo, mpangilio na makadirio…
“KUTENGENEA KWA FAMILIA YAKO, NDIO KUTENGENEA KWA JAMII NA TAIFA LAKO” Sifa njema zote ni haki yake Allah; Muumba wa viumbe vyote na Mpangaji wa mambo na taratibu zote, asemaye…
“KUTENGENEA KWA FAMILIA YAKO, NDIO KUTENGENEA KWA JAMII NA TAIFA LAKO” Sifa njema zote ni haki yake Allah; Muumba wa viumbe vyote na Mpangaji wa mambo na taratibu zote, asemaye…
NDOA “KUTENGENEA KWA FAMILIA YAKO, NDIO KUTENGENEA KWA JAMII NA TAIFA LAKO” Sifa njema zote ni haki yake Allah; Mola wa viumbe vyote. Yeye pekee ndiye wa kuabudiwa na kuombwa.…
Alhamdulillah! Kuhimidiwa ni kwa Allah! Ambaye amesema na kauli yake ni haki: “Leo kila nafsi italipwa kwa iliyo yachuma. Hapana dhulma leo. Hakika Allah ni Mwepesi wa kuhisabu”. Na amani…
“MANDHARI NA MUONEKANO WA WATENDA MAASI SIKU YA KIYAMA” Sifa zote njema zimuendee Mola Mlezi wetu kwa Hidaya zake za wazi na zilizo fichikana azitoazo wakati wote, ambaye ni Yeye…
“MANDHARI NA MUONEKANO WA WAKANUSHAJI NA MAKAFIRI” Sifa njema zote ni haki ya Allah; Mola wa viumbe wote. Yeye pekee ndiye wa kuabudiwa na kuombwa. Rehema na Amani zishuke juu…
MANDHARI NA MUONEKANO WA WAKANUSHAJI NA MAKAFIRI. Shukrani zote ni stahiki na milki yake Allah Mtukufu; aliye uumba ulimwengu kuwa ni nyumba na uwanja wa matendo na akaiumba Akhera kuwa…
MANDHARI NA MUONEKANO WA WAKANUSHAJI NA MAKAFIRI. “MANDHARI NA MUONEKANO WA WAKANUSHAJI NA MAKAFIRI” Shukrani na sifa zote njema ni milki na stahiki yake Allah Mola Muumba wa mbingu saba…
i) MAANA YA UDHU : Tamko/Neno udhu linafasirika katika lugha ya kiarabu kama wema, uzuri na ung’avu. Ama maana ya udhu katika istilahi ya wanazuoni wa fani ya Fiq-hi; udhu…
“Mwenyezi Mungu akimtakia kheri Mja humfahamisha (humpa elimu) kwenye dini” Hadith Tukufu Kustanji/Kuchamba ni kusafisha na kuondoa najisi iliyotoka katika mojawapo ya tupu {uchi}mbili au zote mbili; tupu ya mbele…
Najisi kwa mtazamo wa sheria zimegawanywa katika aina tatu zifuatazo : NAJISI NZITO : Hii ni najisi ya mbwa na nguruwe na mnyama aliyezaliwa kutokana nao au mmoja wao (mbwa…
i) MAANA YA NAJISI Najisi ni neno la kiarabu lenye maana mbili; maana ya kilugha na ya kisheria. Najisi katika lugha ni kila kilicho kibaya hata kama ni twahara kama vile…
“Mwenyezi Mungu akimtakia kheri Mja humfahamisha (humpa elimu) kwenye dini” Hadith Tukufu Maji kwa kuzingatia sifa na hukumu zake yanagawanyika sehemu/mafungu matatu:- 1: MAJI TWAHUUR au MAJI MUTLAQ hili ndilo…