AINA ZA JOSHO, YAWAJIBISHAYO JOSHO NA YALIYO HARAMU KWENYE KUWAJIBISHWA NA JOSHO

Kuna aina mbili za josho kwa mtazamo wa kisheria (kifiq-hi):

  1. Josho la faradhi/wajibu na
  2. Josho la suna
  1. JOSHO LA FARADHI :

Hili ni lile josho ambalo haitosihi ibada yenye kuhitajia twahara kama vile swala bila ya kupatikana kwanza josho hili wakati wa kuwepo sababu zake.

SABABU ZA JOSHO LA FARADHI :

Haya ni yale mambo ambayo yakimtokea muislamu yatamsababishia awajibikiwe kukoga josho hili la faradhi. Mambo hayo ni :

  1. Janaba
  2. Hedhi/Nifasi
  3. Kuzaa/Kujifungua
  4. Mauti (kifo)

Haya ndiyo mambo ambayo humpasia muislamu josho la faradhi yatakapomtokea. Hebu sasa tujaribu kuyafafanua moja baada ya jingine.

AINA ZA JOSHO; JANABA

Kuna aina mbili za josho kwa mtazamo wa kisheria (kifiq-hi):

  1. Josho la faradhi/wajibu na
  2. Josho la suna
  1. JOSHO LA FARADHI :

Hili ni lile josho ambalo haitosihi ibada yenye kuhitajia twahara kama vile swala bila ya kupatikana kwanza josho hili wakati wa kuwepo sababu zake.

(more…)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *