Kuhimidiwa na kutakaswa ni kwake Allah, ambaye: “Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu”. Ewe Mola…
Author: admin
“RAMADHANI IMESHA KWENDA ZAKE, SASA NI FURSA YA KUFAIDIKA NA MAFUNDISHO YAKE”
“RAMADHANI IMESHA KWENDA ZAKE, SASA NI FURSA YA KUFAIDIKA NA MAFUNDISHO YAKE” Hakika sifa zote njema ni stahiki na milki yake Allah ambaye Yeye ndiye Mkusudiwa wa kila jambo, hakuzaa…
NENO LA AWALI
Neno la Awali Sifa zote njema ni zake Allah; Mola Mlezi wa viumbe vyote ambaye amesema katika kitabu chake kitukufu, alicho mteremshia Mtume wake Mtukufu: “HAKIKA NYINYI MNAYO RUWAZA NJEMA…
AYA YA WIKI (JUMA LA 63)
Ishi na muongozo na maelekezo ya Qur-ani, ufanikiwe duniani na akhera: Ikumbuke na jiandae leo na ile: “Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikisiko. Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.…
HADITHI YA WIKI (JUMA LA 63)
“Hakika katika jumla ya alama za Kiyama, ni kuondoshwa kwa elimu na kuthibiti kwa ujinga (mahala pake), kukithiri kwa unywaji wa pombe na kutapakaa kwa zinaa”. Bukhaariy [01/08]
KATAZO LA WIKI (JUMA LA 63)
Ni mizani gani inayo kufanya ukipe nafasi kubwa na ya kwanza kile utakacho kiacha na kile kitakacho kuwa na wewe popote pale utakapo kuwepo unakipa nafasi ndogo na ya mwisho?!…
SWALI LA WIKI (JUMA LA 63)
SWALI: Naomba kujuzwa, jina la Mtume wa Allah; Muhammad-Rehema na Amani zimshukie-limetajwa mara ngapi ndani ya Qur-ani Tukufu? JIBU: Jina “Muhammad”-Rehema na Amani zimshukie-limetajwa mara nne ndani ya Qur-ani Tukufu,…
SOMO LA KUMI NA TISA
MANDHARI YA WAKANUSHAJI NA MAKAFIRI. Kila sifa kamali zinamstahikia Allah Mtukufu, aliye sema katika kitabu chake kitukufu: “Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na dini ya haki, ili…
RAMADHANI HIYOOO INAKWENDA ZAKE, EWE MUISLAMU
Mstahiki wa kuhimidiwa na kutukuzwa ni Allah; Mola Muumba wetu aliye tuambia katika kitabu chake kitukufu: “Hawawi sawa watu wa motoni na watu wa peponi. Watu wa peponi ndio wenye…
AYA YA WIKI (JUMA LA 62)
Ishi na muongozo na maelekezo ya Qur-ani, ufanikiwe duniani na akhera: Usidhulumu na wala usishirikiane na dhalimu, usije kujuta na kujing’ata vidole: “Na siku ambayo mwenye kujidhulumu atajiuma mikono yake,…
