Ni wangapi wangapi unao wajua hapo mtaani/kijijini kwako ambao wamesha hangaika Mashariki na Magharibi na kwa kutumia gharama kubwa katika kutafuta kupata japo mtoto mmoja tu, lakini hawajapata. Halafu wewe…
Category: NUKUU ZA JUMA
SWALI LA WIKI (JUMA LA 86)
SWALI: Nimepata kusikia kwenye mojawapo na darsa za misikitini ya kwamba mtu akikosa maji anatakiwa kutayamamu. Naomba kujua namna ya huko kutayamamu. JIBU: Uliyo yasikia ni sahihi kabisa, mtu akiwa…
AYA YA WIKI (JUMA LA 85)
ISHI NA MUONGOZO NA MAELEKEZO YA QUR-ANI, UFANIKIWE DUNIANI NA AKHERA: Uone uwezo na uumbaji wa Mola wako ili upate kumtukuza na kumuabudu: “NA ALLAH AMEUMBA KILA KINYAMA KUTOKANA NA…
HADITHI YA WIKI (JUMA LA 85)
Imepokewa kutoka kwa Uthmaan bin Affaan-Allah amuwiye radhi-amesema: Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Atakaye tawadha kwa ajili ya swala, kisha akapiga hatua kwenda kuswali swala ya faradhi, akaiswali pamoja…
KATAZO LA WIKI (JUMA LA 85)
Kwa nini lakini uumie kwa kipato cha mwenzako?! Kwani wewe huamini ya kwamba kipato alicho nacho ni riziki aliyo pewa na Mola wake kwa hekima anazo zijua Yeye Mwenyewe?! Kwa…
SWALI LA WIKI (JUMA LA 85)
SWALI: Katika maisha yangu, nimetenda niliyo tenda katika maasi/madhambi; nimeacha swala, nimeiba, nimezini, nimekula riba, nime…, nime… Dhamiri yangu inanisuta na kuniuma sana na sasa ninaswali. Je, swala yangu ya…
AYA YA WIKI (JUMA LA 84)
ISHI NA MUONGOZO NA MAELEKEZO YA QUR-ANI, UFANIKIWE DUNIANI NA AKHERA: Unasubiri nini kuingia kwenye kundi la Waumini, wahi ufaidike kabla hujachelewa: “NA WALIO AMINI NA WAKATENDA MEMA, KWA YAKINI…
HADITHI YA WIKI (JUMA LA 84)
“Yaepukeni mambo matatu yenye kuleta laana; kwenda haja kwenye mapito ya maji, katikati ya njia na penye kivuli”. Abu Daawoud [26], Ibn Maajah [327] na Ahmad [01/299]-Allah awarehemu.
KATAZO LA WIKI (JUMA LA 84)
Unabweteka; hutaki kufanya amali njema zikufae leo hapa duniani kabla ya kesho mbele ya Mola wako Mlezi?! Ikiwa unaamini na kukiri kwamba vyote ulivyo navyo leo hapa juu ya mgongo…
SWALI LA WIKI (JUMA LA 84)
SWALI: Je, mwanamke analazimika kutoa huduma binafsi kwa mumewe mithili ya kumpikia, kumfulia na baki ya majukumu mengine ya nyumbani? JIBU: Jumuhuri ya Wanazuoni wakiwemo wale wa Kishafi wamefuata madhehebu…
