Ukitenda dhambi, basi tambua ya kwamba huidhuru ila nafsi yako: “Na anaye chuma dhambi, basi ameichumia nafsi yake mwenyewe. Na Allah ni Mjuzi, Mwenye hikima”. An-nisaa [04]:111

Ukitenda dhambi, basi tambua ya kwamba huidhuru ila nafsi yako: “Na anaye chuma dhambi, basi ameichumia nafsi yake mwenyewe. Na Allah ni Mjuzi, Mwenye hikima”. An-nisaa [04]:111