AYA YA WIKI

Ishi na muongozo na maelekezo ya Qur-ani, ufanikiwe duniani na akhera. Unasubiri nini kuingia kwenye kundi la Waumini, wahi ufaidike kabla hujachelewa: “Hakika Allah huwakinga walio amini. Hakika Allah hampendi…

HADITHI YA WIKI (JUMA LA 77)

“Atakaye tawadha kikamilifu, kisha akaswali rakaa mbili (Sunnatul-Wudhuu), akielekea (kwazo) kwa moyo wake na uso wake, imemuwajibikia pepo”. Nasaai [151], Muslim [234], Abu Daawoud [169] na Ahmad [04/158]-Allah awarehemu.

KATAZO LA WIKI (JUMA LA 77)

Hivi wewe unafikiri ni nani?! Mpaka lini utaendelea kuwadhulumu na kuwanyanyasa watu, eti tu kwa sababu ya madaraka yako, cheo chako, mali yako au nguvu zako?! Kumbuka madaraka yana mwisho…

SWALI LA WIKI (JUMA LA 77)

SWALI: Je, mke anafaa kumrithi mume aliye fariki muda mfupi tu baada ya ndoa? JIBU: Mke kumrithi mume wake ni jambo lililo thibiti kwa nassi (nukuu) ya Qur-ani. Angalia, marehemu…

SWALI LA WIKI (JUMA LA 76)

SWALI: Je, baba au kaka anayo haki ya kutumia au kula mahari ya binti au dada yake? JIBU: Lazima ifahamike na ieleweke na wazazi na ndugu wa Bi. Harusi bali…

KATAZO LA WIKI (JUMA LA 76)

Acha ajizi na uvivu, kwa nini lakini unajinyima mwenyewe fursa ya kujizolea thawabu lukuki kwa amali ndogo kabisa, ambayo wewe unaiweza pasina kukuletea mashaka?! Hivi ni kweli wewe unashindwa kuswali…

HADITHI YA WIKI (Juma la 76)

“Atakapo tawadha mja muislamu – au muumini – akaosha uso wake, basi hutoka pamoja na maji hayo kila dhambi aliyo ipata kwa kuangalia kwa macho yake – au pamoja na…

AYA YA WIKI (Juma la 76)

Ishi na muongozo na maelekezo ya Qur-ani, ufanikiwe duniani na akhera: Unasubiri nini kuingia kwenye kundi la Waumini, wahi ufaidike kabla hujachelewa: “Hakika Allah atawaingiza walio amini na wakatenda mema…

AYA YA WIKI (Juma la 75)

Ishi na muongozo na maelekezo ya Qur-ani, ufanikiwe duniani na akhera: Miongoni mwa mambo yanayo pelekea kuongezeka kwa riziki/kipato, ni kutoa sana sadaka: “Sema: Kwa hakika Mola wangu Mlezi humkunjulia…

HADITHI YA WIKI (Juma la 75)

“Mbora wenu ni yule aliye mbora wenu kwa ahali wake (watu wake wa nyumbani)”. Sahih Ibn Hibbaan-Allah amrehemu.