SWALI LA WIKI (JUMA LA 78)

SWALI: Ni jambo lililo tangaa na limekuwa kama ada katika jamii zetu, mwanamume kunyonya chuchu/maziwa ya mke wake. Naomba kufahamishwa hukumu ya sharia katika jambo hilo. JIBU: Mume kunyonya chuchu…

SWALI LA WIKI (JUMA LA 77)

SWALI: Je, mke anafaa kumrithi mume aliye fariki muda mfupi tu baada ya ndoa? JIBU: Mke kumrithi mume wake ni jambo lililo thibiti kwa nassi (nukuu) ya Qur-ani. Angalia, marehemu…

SWALI LA WIKI (JUMA LA 76)

SWALI: Je, baba au kaka anayo haki ya kutumia au kula mahari ya binti au dada yake? JIBU: Lazima ifahamike na ieleweke na wazazi na ndugu wa Bi. Harusi bali…

SWALI LA WIKI

SWALI: Msikitini kwetu tunaswalishwa na Imamu ambaye kwa kweli mimi binafsi siridhiki nae; sina imani nae. Je, nini hukumu ya swala yangu nyuma ya Imamu huyu, swala yangu ni sahihi?JIBU:…