HADITHI YA WIKI (JUMA LA 78)

“Atakaye tawadha, akaeneza udhu (viungo vyote), kisha akaiendea swala ya faradhi, akaiswali pamoja na watu au pamoja na jamaa, au msikitini, Allah atamsamehe madhambi yake”. Muslim [232] na Ahmad [01/67]-Allah…

HADITHI YA WIKI (JUMA LA 77)

“Atakaye tawadha kikamilifu, kisha akaswali rakaa mbili (Sunnatul-Wudhuu), akielekea (kwazo) kwa moyo wake na uso wake, imemuwajibikia pepo”. Nasaai [151], Muslim [234], Abu Daawoud [169] na Ahmad [04/158]-Allah awarehemu.

HADITHI YA WIKI (Juma la 76)

“Atakapo tawadha mja muislamu – au muumini – akaosha uso wake, basi hutoka pamoja na maji hayo kila dhambi aliyo ipata kwa kuangalia kwa macho yake – au pamoja na…