“Atakaye tawadha, akaeneza udhu (viungo vyote), kisha akaiendea swala ya faradhi, akaiswali pamoja na watu au pamoja na jamaa, au msikitini, Allah atamsamehe madhambi yake”. Muslim [232] na Ahmad [01/67]-Allah awarehemu.
“Atakaye tawadha, akaeneza udhu (viungo vyote), kisha akaiendea swala ya faradhi, akaiswali pamoja na watu au pamoja na jamaa, au msikitini, Allah atamsamehe madhambi yake”. Muslim [232] na Ahmad [01/67]-Allah awarehemu.