Ndugu mwana jukwaa-Allah akurehemu-hebu sote kwa pamoja tusawirishe na tuitie akilini na fikrani mwetu mandhari ya kutisha na kuogofya, kisha tuzingatie. Hebu tuyaone hayo ndio makaburi yanapasuka kila upande wa…
Author: admin
VITA VYA SWIFFIIN…Inaendelea
Kipindi cha kutoingia vitani kilipo malizika, Sayyidna Aliy-Allah amuwiye radhi-akamuamuru mpiga mbiu kupiga mbiu (aseme): Enyi watu wa Shamu nyie! Amirul-Muuminina anakuambieni ya kwamba yeye alikupeni muda ili mpate kuichunga…
HUKUMU ZA EDA NA LAZIMA ZINAZOWAJIBISHWA HAYO
Ziko hukumu na lazima zinazo wajibishwa na eda ambazo tunazibainisha kama ifuatavyo: Mosi: Eda ya talaka/kuachwa: Atakapo kuwa mwanamke anamkalia eda mume wake, eda ya kuachwa. Basi ama kuachwa…
UTANGULIZI SIRA YA MTUME
SIRA NI NINI? Sira ni fani inayojishughulisha kuelezea maisha ya Nabii Muhammad tangu kuzaliwa mpaka kufa kwake, ikiwa ni pamoja na malezi na makuzi yake, wasifu wake wa kimaumbile, tabia…
SOMO LA KWANZA
Welcome to WordPress. This is your first post. Edit or delete it, then start writing!
FAIDA YA FIQHI
غَافِرِ ٱلذَّنۢبِ وَقَابِلِ ٱلتَّوْبِ شَدِيدِ ٱلْعِقَابِ ذِى ٱلطَّوْلِ ۖ لَآ إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ ۖ إِلَيْهِ ٱلْمَصِيرُ Umuhimu na faida itokanayo na elimu hii ya fiq-hi unajidhihirisha katika maisha ya kila…
MAANA YA FIQHI
Fiq-hi ni neno la kiarabu lenye maana mbili. Maana ya kwanza ni ya kilugha na ya pili ni ya kisheria. Katika lugha ya kiarabu neno “fiq-hi” maana yake ni kufahamu na…
MISINGI YA FIQHI
Misingi ya fiq-hi ni chimbuko la elimu hii yaani mahala ambamo elimu hii imechukuliwa. Elimu ya fiq-hi imejiegemeza katika misingi mikuu minne kama ifuatavyo: Qur-aniHadithi(sunnah)Ijmaa,naQiyaasi Hii ndio misingi na tegemeo…
HUKUMU YA SHERIA YA KIISLAMU
HUKUMU YA SHERIA KATIKA FIQHI Baada ya kuona faida na umuhimu wa fiq-hi hatuna budi kujua hukumu ya sheria katika elimu hii. Kila elimu katika Uislamu ina hukumu yake, elimu…
MARADHI HATARI YA UKIMWI
Ukimwi ni maradhi hatari sana yaliyogubika ulimwengu mzima. Maradhi haya nitisho kubwa sana kwa maisha ya binaadamu kwa sababu mpaka sasa mabingwa wa sayansi ya tiba hawajagundua kinga wala…
