Msimu uliofuatia wa Hijjah, Uislamu ulikuwa tayari umeenea kwa kiasi kikubwa katika mji wa Yahrib (Madinah). Katika kundi kubwa la Mahujaji kutoka Yathrib lililowajumuisha pamoja waislamu na mushrikina, walikuwemo waislamu…
Author: admin
MAAGANO YA KWANZA YA AQABAH
Katika mwaka uliofuatia kundi la watu wasiopungua kumi na mbili kutoka (Madinah) lilikuwa ni miongoni ma uma uliohudhuria msimu wa Hijjah kutoka pande mbalimbali za bara Arabu. Kundi hili lilikusanya…
MTUME AANZA KUKUTANA NA MAKABILA
Baada ya safari ya Twaif, Bwana Mtume – Rehema na Amani zimshukie – alirejea Makkah na kuuwahi msimu wa Hijja. Makabila mbalimbali ya waarabu kutoka pande mbalimbali huja Makkah katika…
SAFARI YA ISRAA
Mwaka wa huzuni ambamo Mtume aliipoteza mihimili yake miwili; muhimili wa ndani, mkewe Bi Khadijah na Muhimili wa nje Ami yake Mzee Abuu Twaalib; Upasito wa watu wa Makkah na…
BWANA MTUME AENDA TWAIF
Kitambo kifupi baada ya Bwana Mtume-Rehema na Amani zimshukie- na jamaa zake kutoka katika kambi ya Mzee Abuu Twaalibu ambako wali zuiliwa na kuondoshwa kwa vikwazo dhidi ya yalitokea matukio…
MWAKA WA HUZUNI
Kitambo kifupi baada ya Bwana Mtume-Rehema na Amani zimshukie- na jamaa zake kutoka katika kambi ya Mzee Abuu Twaalibu ambako wali zuiliwa na kuondoshwa kwa vikwazo dhidi ya yalitokea matukio…
KUONDOLEWA KWA VIKWAZO NA KUTENGULIWA KWA AZIMIO
Tumetangulia kueleza katika masomo yaliyotangulia kwamba vikwazo vya makurayshi dhidi ya Bwana Mtume – Rehema na Amani zimshuke – jamaa zake Baniy Haashim na Bariy Mutwalib waumini na wasio waumini…
HIJRA YA PILI YA UHABESHI
Baada ya Mtume – Rehema na Amani zimshukie – kuingia kambini katika boma la Mzee Abu Twaalib, yeye na jamaa zake kufuatia vikwazo vya Makurayshi dhidi yao, Bwana Mtume aliwaamrisha…
MTUME AWEKEWA VIKWAZO
Makurayshi walipoona na kutambua kuwa njia, mbinu na hila zote walizozitumia ili kupambana, kuzuia na hatimaye kuliua kabisa wimbi la harakati za dawah ya Bwana Mtume zimegonga ukuta, hazikuzaa matunda…
KUSILIMU KWA HAMZA NA UMAR
Kwa upande mwingine adhabu, mateso, maudhi na makero ya Makurayshi kwa waislamu yaliwaletea faraja waislamu. Mateso na makero haya ndiyo yaliyokuwa sababu na changamoto kubwa ya kusilimu mtu mkubwa, mwenye…
