MASHAHIDI WA RAJII

Tukio la kuuawa kwa hila kwa kiongozi wao lilikuwa kubwa sana katika nyoyo za watu wa kabila la Hudhayl, wakaanza kutafuta mbinu za kulipa kisasi. Baadhi ya watu wa makabila…

KABILA LA KHUZAA LILITOA MCHANGO MKUBWA SANA KATIKA KUWAKATISHA TAMAA MAKURAYSHI

Katika jumla ya misaada ambayo Allah aliwapa waislamu ni kwamba kabila la “Khuzaah” lilikuwa limeandikiana mkataba wa amani na ushirikiano na Bwana Mtume-Rehema na Amani zimshukie. Ma’abad Mkhuzai alimpitia Bwana…

MSHAHIDI HAWAFI

Naam, ni kweli isiyo na shaka kwa kila muumini kwamba mashahidi wale waliokufa katika vita vya Uhud kwa ajili ya kuipigania dini ya Allah. Na wale wote watakaokufa kwa ajili…