IBADA YA ITIKAFU

MAANA YA ITIKAFU: Kilugha neno “Itikafu” lina maana kuu mbili, kama zifuatazo: Kuzuia, na Kukaa. Kisheria “Itikafu” ni: Kitendo cha kukaa msikitini kwa mfumo maalumu uambatanao na nia ya kujikurubisha…

SWAUMU YA RAMADHANI KATIKA DIRISHA DOGO

ISEMAVYO QUR-ANI TUKUFU KUHUSIANA NA SWAUMU YA RAMADHANI: Allah Mtukufu anasema: “ENYI MLIOAMIMNI! MMELAZIMISHWA KUFUNGA (swaumu) KAMA WALIVYOLAZIMISHWA WALIOKUWA KABLA YENU ILI MPATE KUMCHA ALLAH. SIKU CHACHE TU (kufunga huko).…

FALSAFA (HEKIMA) YA FUNGA (SWAUMU)

ATHARI ZA SWAUMU: KINAFSI, KIROHO, KIAFYA NA KIJAMII. Mwenyezi Mungu Mtukufu amewafaradhishia  waislamu kufunga (swaumu) katika mwezi wa Ramadhani. Mwezi ambao imeshuka ndani yake Qur-ani Tukufu. Ameifaradhisha swaumu ili iwe…

MINBARI YA RAMADHANI-III

Lengo na madhumuni ya nasaha hizi ni kujaribu kukumbusha utukufu, ubora na fadhila za mwezi huu mtukufu ambao ni msimu wa kheri nyingi. Ni kutokana tu na kuujua mwezi wa…

MINBARI YA RAMADHANI-II

Yale ambayo swala huyatekeleza mara tano kila siku, swaumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhani huyatakeleza mara moja kila mwaka. Katika kipindi chote cha swaumu yaani tokea kuchomoza kwa alfajiri mpaka…

MINBARI YA RAMADHANI

Hii ni kutokana na mnasaba wa kuingia mwezi mtukufu wa Ramadhani. Minbari ya Ramadhani itakuwa ikikuletea mawaidha yahusiyanayo na funga ya Ramadhani, ili uweze kuijua funga na hatimaye uweze kufunga…

MINBARI YA RAMDHANI NA KHUTBA YA MTUME KATIKA KUUKARIBISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI :

Jueni na eleweni enyi ndugu zanguni Waislamu kwamba Mwenyezi Mungu Mtukufu amejaalia mafanikio ya duniani ni ya muda mfupi, yenye kwisha na kuondoka, na mafanikio ya akhera ndiyo yenye kusalia/kubakia…

RUSHWA: HATARI NA ATHARI ZAKE

Msemo “Rushwa ni adui wa haki”, kelele zinapopigwa ulimwenguni kote na wanasiasa, viongozi na serikali na wale wa dini dhidi ya rushwa. Haya yote ni ishara na dalili wazi juu…

UTANGULIZI NASAHA

ZIJUE NASAHA ZA WIKI Nasaha za wiki ni ukumbi wa kunasihiana, kubadilishana,kukosoana,kushauriana, na kuelimishana katika nyanja mbalimbali. Tutakumbushana kupitia nasaha za wiki juu ya yale yatupasayo kutenda ama kutotenda kwa…

KUSILIMU KWA ABUL-AASWI

I.          Kusilimu kwa Abul-Aaswi:  Abul-Aaswi akaenda zake Makkah, alipofika huko akampa kila mwenye mali, mali yake, halafu akauliza: “Je, kuna ye yote miongoni mwenu ambaye hajachukua mali yake kwangu?”, wakajibu:…