KIKAO CHA MWISHO

Hapa kinachokusudiiwa ni kile kitako kinachokuwa katika rakaa ya   mwisho ya  swala, kinachofandamiwa na salamu.

Ni suna iliyothibiti  kukaa mkao wa “ Tawarruki”  katika kikao hiki cha  mwisho .

Huu ni  mkao ambao mtu hukalia tako la kushoto  na sehemu  ya tako la kulia , akaunyoosha  mguu wa kulia kama unavyokuuwa katika si  jida na kuupitisha ule wa kushoto chini yake.

Imekuja kaatika  riwaya ya Abuu  humayd :

“ ……………..hata ilipokuwa sijida ambayo ndani yake   ndimo imo salamu ( sijida ya mwisho )  huutoa  mguu wake wa  kushoto na akakaa mkao wa tawarruki kwa kukalia tako lake la kushoto” Abuu Daawound

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *