JANABA

Maana ya asili ya neno janaba ni umbali. Hivi ndivyo ilivyotumika ndani ya Qur-ani :

“….BASI YEYE AKAMUANGALIA KWA MBALI BILA WAO KUJUA” [28:11].

 Kadhalika neno janaba linachukua maana ya MANII yatokayo kwa mchupo kama libebavyo maana ya JIMAI (tendo la ndoa).

Kwa maana tunaposema Fulani ni mwenye janaba/ana janaba tunamaanisha si twahara/hana twahara kutokana na kutokwa na manii au kujamiiana yaani kutokana na kufanya tendo la ndoa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *