WEPESI WA UISLAMU NA MAANA YA KUTAYAMAMU

Tumekwishajua kutokana na maelezo ya masomo yaliyopita kwamba udhu ni sharti ya kusihi kwa swala, tawafu (ibada ya kuizunguka Al -kaabu), kuushika na kuuchuka/kuubeba msahafu. Kadhalika tumefahamu kuwa udhu hupatikana…