WAZAZI WA MTUME NA KISA CHA KUCHINJWA KWA BABA YAKE

Tumeeleza katika somo lililopita kwamba baba yake Bwana Mtume ni Mzee Abdallah Bin Abdul-Mutwalib na mama yake ni Bi Aaminah Bint Wahab. Bwana Abdallah alikuwa ni miongoni mwa vijana bora…