WAISLAMU WALISAMBARATIKA NA KILA MMOJA ALISHUGHULIKA NA YA KWAKE

Na tukio jingine miongoni mwa matukio yaliyoonyesha udhaifu katika safu za waislamu, yaliyofichuliwa na kushindwa katika vita hivi. Ni kwamba adui alipowazingira na kuwaweka kati, hawakuungana na kushikamana pamoja. Bali…