SUNNA ZILIZO(ZINAZOFUATIA) BAADA YA KUMALIZIKA SWALA

Hizi ni aina ya suna za swala ambazo huletea baada ya swala kumalizika. Hizi zinakusanya:- 1.  Kuleta Istighfaari, dhikri na dua. Imepokelewa kwamba Mtume Rehama na Amani zimshukie alikuwa anapomaliza…