“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” MASOMO, MAZINGATIO NA FAIDA ZIPATIKANAZO KWENYE TUKIO LA NDOVU. 7. Kisa cha watu wa ndovu ni miongoni mwa dalili za utume:…
Category: SIRA YA MTUME
SOMO LA NNE –03 MATUKIO MUHIMU KABLA YA KUZALIWA KWA BWANA MTUME-Rehema na Amani zimshukie.
“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” MASOMO, MAZINGATIO NA FAIDA ZIPATIKANAZO KWENYE TUKIO LA NDOVU. Ni jambo jema, tena la wajibu, tuanze kwa kumshukuru Mola wetu Muweza…
SOMO LA NNE –02 MATUKIO MUHIMU KABLA YA KUZALIWA KWA BWANA MTUME-Rehema na Amani zimshukie.
“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Naam, ni juma jingine ambalo kwa uwezo wake Mola ametukutanisha tena katika darsa letu hili la Sira yake Bwana wetu Mtume…
SOMO LA PILI .04
Hadhi, nafasi na daraja ya mji wa Makka katika Uislamu “SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-juma lililo pita tulijifunza na kuangalia mchango na…
SOMO LA PILI NO .03
Mchango wa Ibn Zubeir na watu wengine katika ujenzi wa Al-Ka’aba. “SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mchango wa Ibn Zubeir na watu wengine katika ujenzi wa…
2. Awamu za kujengwa kwa Al-Ka’aba.
“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-baada ya kujifunza kwa mukhtasari tarekhe ya kuasisiwa na kujengwa kwa mji mtukufu wa Makka, leo tena kwa…
SOMO LA PILI – Kuibuka (kuanzishwa) na kukua kwa mji wa Makka.
Kuibuka (kuanzishwa) na kukua kwa mji wa Makka. Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-fahamu na uelewe ya kwamba, Historia ya mji wa Makka; kuibuka, kujengwa na kukua kwake haiandikiki na wala haielezeki…
SOMO LA KWANZA – ASILI NA CHIMBUKO LA WAARABU NA USTAARABU (MAENDELEO) WAO.
“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Kwa auni na msaada wake Allah Mola wetu Mkarimu, leo tena tunaendelea na mfululizo wa darasa zetu za Sira. Juma lililo…
SOMO LA KWANZA – ASILI NA CHIMBUKO LA WAARABU NA USTAARABU (MAENDELEO) WAO.
Asili ya Waarabu. Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-fahamu na uelewe ya kwamba, Sira ya Mtume Muhammad-Rehema na Amani zimshukie-haiandikiki na wala haielezeki bila ya kuwataja na kuwajua Waarabu na chimbuko (nasaba)…
UMUHIMU WA SIRA YA MTUME WA ALLAH KATIKA KUUFAHAMU UISLAMU
UMUHIMU WA SIRA YA MTUME WA ALLAH KATIKA KUUFAHAMU UISLAMU Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-tambua na ufahamu ya kwamba si lengo la kusoma Sira, Falsafa na Mafundisho yake, kujua tu matukio…