Maamuma anayeswali nyuma ya imamu kumeshurutizwa sharti kadhaa ili kumfuata kwake imamu kusihi. Miongoni mwa sharti muhimu ni kama zifuatavyo:- 1) Mfuataji (maamuma) asijue kubatilika kwa swala ya imamu wake…
Maamuma anayeswali nyuma ya imamu kumeshurutizwa sharti kadhaa ili kumfuata kwake imamu kusihi. Miongoni mwa sharti muhimu ni kama zifuatavyo:- 1) Mfuataji (maamuma) asijue kubatilika kwa swala ya imamu wake…