NYUDHURU ZA KUACHA SWALA YA JAMAA NA IJUMAA

Nyudhuru zinazoweza kumfanya mtu kutokuhudhuria swala ya jamaa msikitini, zinagawika katika mafungu mawili makuu kama ifuatavyo:- a) NYUDHURU JUMUIA: Hizi ni pamoja na mvua kubwa, upepo mkali wakati wa usiku…