MWENENDO NA SILKA YA MTUME KABLA YA KUPEWA UTUME

Bwana Mtume –Rehma na Amani zimshukie- alijulikana miongoni mwa jamii yake kwa sifa na tabia zake njema kama vile ukweli, uaminifu, haya, unyenyekevu na upole. Jamii yake ilimkubali na ikampa…