Mtume wa Allah–Rehema na Amani zimshukie-akatuma wapelelezi wake kupeleleza khabari za mahasimu wake. Wakarudi na kumpasha khabari kwamba wamepiga kambi katika bonde la Uhud, wakamkadiria idadi yao na utayarifu wao. …
Mtume wa Allah–Rehema na Amani zimshukie-akatuma wapelelezi wake kupeleleza khabari za mahasimu wake. Wakarudi na kumpasha khabari kwamba wamepiga kambi katika bonde la Uhud, wakamkadiria idadi yao na utayarifu wao. …