MAFUNZO YA JUU WANAYOPATA WAISLAMU KUTOKA VITA VYA UHUD

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-katika vita hivi aliwapatia maswahaba wake bali uma mzima wa kiislamu masomo ya juu kabisa katika nyanja za:- ü      Kuheshimu shura (ushauri na maoni ya…