KABILA LA KURAISHI NA UTAWALA WAKE

Makabila mengi yalipatikana kutokana na kizazi cha Ismail mwana wa Nabii Ibrahimu katika nchi ya Hijazi, kabila la Qurayshi ndilo lililokuwa mashuhuri zaidi. Baadhi ya makabila haya yalikuwa yakimuabudu Mwenyezi…