JIEPUSHE NA MANENO MACHAFU/MATENDO MABAYA

Ewe ndugu yangu mpenzi muislamu, ninakuusia pamoja na kuiusia nafsi yangu tuzipe masiko ya usikivu wa kufuata, kauli hizi za Mola wetu: “…NA SEMENI NA WATU KWA WEMA…”  (2:83) “ENYI…