HIJRAH YA MTUME KUTOKA MAKKAH KWENDA MADINAH

Makurayshi  walifanya kikao chao hiki kiovu katika mazingira na hali ya uficho na siri kuu ili kuhakikisha kuwa maamuzi yatakayofikiwa hayavuji na kuwasambaa. Kwani hili halitamaanisha kingine zaidi ya kushindwa…