HALI AMBAZO UDHU HUSUNIWA NDANI YAKE

Imesuniwa kutawadha katika hali nyingi, miongoni mwa hali ambazo muislamu amesuniwa atawadhe: 1. Wakati wa kumdhukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwani Bwana Mtume –Rehema na Amani zimshukie – alikuwa akipenda kumdhukuru…