HAKI ZA MAKHADIMU(WATUMISHI WA NYUMBANI), VIBARUA NA WAAJIRIWA

Huduma/utumishi ni suala lisilopuuzwa wala kudharauliwa katika mfumo sahihi wa maisha (Uislamu). Umuhimu wa suala hili unatokana na ukweli kwamba maisha ya watu katika jamii yo yote ile ni maisha…