“Mwenyezi Mungu akimtakia kheri Mja humfahamisha (humpa elimu) kwenye dini” Hadith Tukufu
Category: UTANGULIZI
HUKUMU YA SHERIA KATIKA FIQHI
Baada ya kuona faida na umuhimu wa fiq-hi hatuna budi kujua hukumu ya sheria katika elimu hii. Kila elimu katika Uislamu ina hukumu yake, elimu ya uchawi kwa mfano ni…