Muislamu hadhulumu na wala hadhulumiwi. Yeye hamdhulumu mtu kwa kigezo cho chote kile, hata kama anatofautiana nae katika imani. Wala hakubali kudhulumiwa na ye yote awaye. Hii ni kwa sababu…
Muislamu hadhulumu na wala hadhulumiwi. Yeye hamdhulumu mtu kwa kigezo cho chote kile, hata kama anatofautiana nae katika imani. Wala hakubali kudhulumiwa na ye yote awaye. Hii ni kwa sababu…