Baada ya kurushiana maneno na waislamu, Abuu Sufyaan akageuza hatamu za farasi wake na huyoo akashika njia kurejea kwa watu wake. Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-akapendelea kujua Makurayshi wanaelekea…
Baada ya kurushiana maneno na waislamu, Abuu Sufyaan akageuza hatamu za farasi wake na huyoo akashika njia kurejea kwa watu wake. Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-akapendelea kujua Makurayshi wanaelekea…