Bwana Mtume-Rehema na Amani zimshukie akaondoka pale Rauhaa alipolakiwa na maswahaba wake kuendelea na safari yake ya Madinah. Alipofika mahala panapoitwa “Al–Uthayl” akawakagua mateka na akaamuru kuuliwa wawili miongoni mwao…
Bwana Mtume-Rehema na Amani zimshukie akaondoka pale Rauhaa alipolakiwa na maswahaba wake kuendelea na safari yake ya Madinah. Alipofika mahala panapoitwa “Al–Uthayl” akawakagua mateka na akaamuru kuuliwa wawili miongoni mwao…