ADABU / TARATIBU ZINAZOFUNGAMANA NA MAHALA PA KUKIDHIA HAJA

Imemlazimu mkidhi haja, ajiepushe kukidhi haja katika : 1.Njia ya watu au mahala wanapokaa, hii ni kutokana na kero na maudhi yatakayowapata. Imepokelewa kutoka kwa Abuu Hurayrah – Allah amuwie…