ADABU / TARATIBU ZINAZOFUNGAMANA NA HALI YA KUKIDHI HAJA

Ni vema kwa mwenye kukidhi haja akategemea mguu wake wa kushoto na kuusimamisha/kuunyoosha mguu wa kulia, hivi ndivyo anavyotakiwa akae wakati wa kukidhi haja. Hekima ya ukaaji huu ni kuifanya…