AYA YA WIKI(JUMA LA 74)

Ishi na muongozo na maelekezo ya Qur-ani, ufanikiwe duniani na akhera:

Miongoni mwa mambo yanayo pelekea kuongezeka kwa riziki/kipato, ni kukithirisha kuleta Istighfaari: “Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi, hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe. Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo. Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito”. Nuuhu [71]:10-12

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *