AYA YA WIKI (JUMA LA 71)

Ishi na muongozo na maelekezo ya Qur-ani, ufanikiwe duniani na akhera:

  • Usipitwe na fursa ya kuwa miongoni mwa watu bora ambao:

“Mbavu zao zinaachana na vitanda kwa kumuomba Mola wao Mlezi kwa khofu na kutumaini na hutoa kutokana na tulivyo waruzuku”. As-Sajdah [32]:16

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *